Tuesday, February 14, 2012

MAINDA NA UJIO MPYA KATIKA FILAMU
Filamu mpya iko jikoni inayoenda kwa jina la MKE MWEMA ambayo inazungumzia maisha ya wokovu katika mazingira ya kijijini.
Maeneo yaliyochukuliwa na hapahapa Tanzania, hii ni kujaribu kuonyesha utajiri  tulionao hapa Tanzania.

mwanakombo mshiliki wa movie ya mke mwema akiwa anafurahia jambo

washiliki wa mke mwema wakiwa wanapata chakula ili mzingo uendelee kurecodiwa
Steve nyerere akiwa na mwanakombo wakipata chakula baada ya kazi
baada ya kazi nilikuwa napata picha na baadhi ya washiliki wa movie ya mke mwema
Mainda akiwa mzigoni
Kabuti onyango akiwa na Kupa
mainda akipata maelekezo kwa pm saguda
ulokole kidogo uliusika ktk hii movie

No comments:

Post a Comment