Monday, April 18, 2011

NYERERE ANALINDWA NA BAUNSA BAADA YA PESA KUMZIDI

Unajua pesa ikizidi sana unahitajika kuwa na mlinzi wa kukulinda ndio nilivyo sasa hivi maisha yangu.Juma Chikoka ndio mlinzi wangu kwa sasa,jamani pesa hizi hizi si mchezo

No comments:

Post a Comment